Wednesday, January 21, 2015

PICHA: MAHAFALI YA KUMI YAFANA SUZA


Chuo Kikuu Cha Taifa Cha Zanzibar hivi karibuni kimefanya mahafali ya kumi tangu kuanzishwa kwa chuo hicho...

Mahafali hiyo ilihudhuriwa na Raisi wa serikali ya mapinduzi zanzibar Mh. Dkt Ali mohamed shein, ambapo takribani wanafunzi mia saba arobaini na moja (741) wa fani mbali mbali walihitimu masomo yao katika chuo hicho.
Angalia picha za matukio.



Mheshimiwa Dkt. Ali Mohameid Shein akitoa zawadi kwa mwanafunzi bora Najad zahor Said







Makamu mkuu wa chuo Prof. Idriss Ahmad Rai akisoma risala ya chuo




baadhi ya wahitimu wa shahada






huyu ndiye mwanafunzi bora Najad Zahor Said





baadhi ya walimu wa SUZA akiwemo bi Mwanajuma pamoja na mwal. Said Yunus




baadhi ya wahitimu wa stashahada ya sayansi ya kompyuta, Mayasa Mrisho pamoja na Said Salim




Mhitimu wa stashada ya kazi za jamii, Akiki Shabani Luziga akiwa mwenye furaha sana





baadhi ya wahitimu wa stashahada ya kazi za jamii





baadhi ya wahitimu wa stashahada ya sayansi ya kompyuta

No comments:

Post a Comment